Home »
» Menejimenti ya Wakala wa Humuma za Misitu yakutana Jijini Dodoma kujadili namna ya kuanzisha kikosi cha intelijensia
 |
Mtendaji Mkuu wa
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof. Dos Santos Silayo akizungumza
wakati wa ufunguzi wa kikao cha kazi cha Menejimenti ya TFS Makao
Makuu, Meneja wa Kanda, Mashamba ya Miti na Wakuu wa FSU katika Ukumbi wa
Hazina Dodoma.
Lengo kuu la mkutano huo ni kuanzisha kikosi cha
intelijensia ili kupunguza matumizi katika doria na kupata taaarifa za kimkakati
zitakazopunguza uvamizi katika misitu.
“Tuanzishe Kikosi cha Intelegensia
kitakachohakikisha kinaboresha ukuaji wa sekta ya misitu nchini,” alisema Prof.
Silayo
|
 |
Mkurugenzi
wa Mipango na Matumizi Endelevu ya Rasilimali Misitu wa TFS,
Mohammed Kilongo, akizungumza katika Mkutano huo
ambapo alieleza umuhimu wa kuanzishwa Kikosi cha Intelegensia katika kuendeleza
Misitu kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho.
|
 |
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakimfuatilia kwa umakini
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Prof. Dos Santos
Silayo alipokuwa akihutubia kwenye mkutano huo.
|
0 comments:
Post a Comment